2 Samuel 18:11

11 aYoabu akamwambia huyo mtu, “Nini! Ulimwona Absalomu? Kwa nini hukumpiga papo hapo mpaka chini? Ndipo ningekupa shekeli kumi
Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 115.
za fedha na mkanda wa askari shujaa.”

Copyright information for SwhKC